KWA WASOMI WA BIBLIA TUCHANGAMSHE BONGO ZETU.
1. Fundisho kuu la Biblia ni nini?
A Watu watende matendo mema
B. Wokovu kupitia kwa Yesu Kristo.
C. Wokovu ni neema tu.
2. Biblia ni tofauti na vitabu vingi. Moja ya tofauti hizo ni.
A. Ganda la juu ya biblia ni jeusi tu.
B Biblia ni kitabu kilichotafsiriwa kwa lugha nyingi kuliko kitabu chochote.
C Biblia ni kitabu kikubwa zaidi ya vitabu vingine.
3 Biblia iliandikwa kwa miaka mingapi hadi ikakamilika?
A 1500
B 1569
C 1600
4 Nani mwandishi wa Biblia.
A. Musa na manabii wengine.
B Manabii, makuhani, mitume na wafalme.
C. Roho mtakatifu kwa kuwatumia watu.
5 Vitabu vya agano la kale vimegawanyika katika makundi makuu mangapi?
A. 4
B. 2
C. 6
6. Vitabu vya agano jipya vimegawanyika ktk makundi makuu mangapi?
A. 4
B. 3
C. 6
7. Mtume Paulo peke yake ameandika vitabu vingapi kwenye Biblia?
A. 21
B. 13
C. 16
8. Mtume Yohana ameandika vitabu vingapi kwenye Biblia?
A. 1
B. 4
C. 5
9. Nani mwandishi wa kitabu cha matendo ya mitume?
A. Paulo
B. Luka
C . Timotheo
10. Kabla ya mtume Mathayo hajaitwa na Yesu amfuate, alikua anafanya kazi gani?
A. Mtoza ushuru.
B.Mvuvi
C. Mfanya biashara.
11. Nini maana ya Biblia …………… ...................…………………………………………
12. Nini maana ya Kristo ……………………………………………………………………
13. Nini maana ya jina la Petro ……………………………………………………………………
14. Yesu alizaliwa ktk mji unaoitwaje?
……………………………………………………………………
15. Ni farisayo yupi aliyemfuata Yesu nyakati za usiku akiogopa asionekane na wayahudi?
……………………………………………………………………
16. Kulingana na injili ya Yohana, muujiza wa kwanza aliofanya Yesu ulikua ni upi?
…………………………………………………………………
17. Yesu baada ya kufufuka, alendelea kukaa duniani kwa siku ngapi?
…………………………………………………………………
18. Nani aliyembatiza kwa maji mtume Paulo?
…………………………………………………………………
19. Unafikiri ni sababu gani ilimfanya Ibrahimu aitwe " Baba wa Imani"?
20. Kwa nini Mungu aliwachelewesha Israeli kuvuka jangwani?
******* MWISHO*****