Saturday, 25 November 2017

Dhambi isiyo sameheka!


DHAMBI ISIYO SAMEHEWA...! ! !

DHAMBI ISIYO SAMEHEWA...! ! !

Bwana Yesu amesema kwamba: "...Kila dhambi na kila neno la kufuru watasamehewa wanadamu, ila kwakumkufuru Roho Mtakatifuhawatasamehewa." - (Mathayo 12:31)

Je! Nini maana ya KUMKUFURU Roho Mtakatifu?

 Tukianza na neno KUFURU, maana yake ni: Kusema maneno yakumtukana Mungu au kufanya matendo yanayomtukana Mungu. Tukiendelea kusoma Mathayo 12:32 tunaona Bwana Yesu anasema kwamba:

"Naye mtu ye yote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa,bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao." (Mathayo 12:32)

Ni kweli kuwa Yesu ni Mungu; lakini, Je! Yesu anamaanisha nini kuhusu dhambi isiyosamehewa ya KUMKUFURU Roho Mtakatifu?
Kumkufuru Roho Mtakatifu maana yake ni hii; Biblia Takatifu inasema kwamba:

"Kwa maana HAO WALIOKWISHA KUPEWA NURU, na KUKIONJA KIPAWA CHA MBINGUNI, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo,HAIWEZEKANI KUWAFANYA UPYA TENA HATA WAKITUBU; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, naKUFEDHEHESHA kwa DHAHIRI." (Waebrania 6:4-6)

Kumkufuru Roho Mtakatifu ni kuzitukana kazi za Mungu ambazo hakika kazi hizo ziliwahi kuyagusa maisha yako. Hapa namaanisha ya kwamba: mf. Yawezekana mtu alikuwa ni Mkristo na analijua neno la Kristo vizuri; mtu huyo baadae akaja akakengeuka na kuanza kuutukana Ukristo pamoja na matendo ya Mungu ambayo yanatendeka kwa uwezo wa Roho Mtakatifu; mtu huyo atakuwa ANAMKUFURU Roho Mtakatifu na KAMWE HATASAMEHEWA.

Tumeona hapo Biblia Takatifu imesema kuwa: "...wakaanguka baada ya hayo,HAIWEZEKANI KUWAFANYA UPYA TENA HATA WAKITUBU..." (Ebr 6:6) ni kwa sababu wamefanya "...KUFEDHEHESHA kwa DHAHIRI." Wamezitukana kazi za Mungu kwa makusudi; dhambi hiyo ndiyo Yesu anasema kamwe haitasamehewa. Biblia Takatifu inazidi kusema kwamba:

"Maana, kama TUKIFANYA DHAMBI KUSUDI baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, HAITABAKI TENA DHABIHU KWA AJILI YA DHAMBI; bali kunakuitazama hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.Mtu aliyeidharau sheria ya Musa hufa pasipo huruma... Mwaonaje?Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidimtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya aganoALIYOTAKASWA KWAYO kuwa ni kitu ovyo, na KUMFANYIA JEHURI Roho wa neema?" (Waebrania 10:26-29)

Kuzitukana kazi za Mungu ni dhambi ambayo kamwe haiwezi kusamehewa. Tunapaswa tuwe makini sana juu ya hili. Leo hii tumepewa neema ya wokovu; na pia tumeziona kazi za Mungu maishani mwetu; isije ikatokea siku mmoja wetu akakengeuka na kuutukana Ukristo.Hilo ni jambo la kutisha na KAMWE HALITASAMEHEWA.

Wapendwa; Tusonge mbele katika wokovu. Tuishi maisha ya toba kila wakati; na pia, tuzidi kuihubiri kweli ya neno la Mungu bila ya kujitakia maslahi binafsi.

"Ee Bwana Yesu, nakuomba uwe nasi daima; kamwe asije akatokea mmoja miongoni mwetu akazikufuru kazi Zako. Naomba Roho Mtakatifu uwe nasi daima; utuongoze na kutulinda katika jina la Yesu Kristo. Amina."





 

Akili na Roho, soma ujue!

UHUSIANO KATI YA AKILI NA ROHO

AKILI NA ROHO (SEHEMU ~I)

Bwana Yesu asifiwe wapendwa!!!

Tunakukaribisha katika kufuatilia mfululizo huu wa somo la akili na Roho, ambalo tumesimamia neno kutoka 1Kor 14:15

"Imekuwaje, basi? Nitaomba kwa roho, tena nitaomba kwa akili pia; nitaimba kwa roho, tena nitaimba kwa akili pia."

���� Wakristo wengi tunachanganya nafasi ya roho na akili katika kufanya maamuzi au kung'amua mambo.

���� Na wengine wamefika hatua wanafikiri kufanya maamuzi kwa kutumia akili zao watakuwa wamemkufuru Roho mtakatifu.

���� Wapo wanaousimamia mpaka mistari ya Biblia kuzifisha akili zao, mstari wanaopenda kuutumia ni huu unaosema

Mtumaini Bwana kwa Moyo wako wote wala usitegemee akili zako mwenyewe. Mithali 3:5.

Hii ni tafsiri mbaya ya neno la Mungu inayowafanya wengi wawe maskini mwilini na rohoni.

Katika mstari huu neno la Mungu halituambii tusitumie akili zetu, bali linatuasa tusitegemee akili zetu WENYEWE, Hii ina maana tusiegemee katika kutumia akili TU,

Bali baada ya kumtumaini Bwana KATIKA AKILI zetu tunahitaji pia kumtumaini kwa Moyo.

Tafsiri ya Neno KWA MOYO ni kutoka ndani hii inamaana kutumaini Bwana kwa kumaanisha. Biblia inatuambia moyo ndiko chemichemi za uzima zinakotoka hivyo ukimtumaini Mungu kwa moyo hakuna kitakacho kutoa katika tumaini hilo hata mwisho.

Mtu asiemtumaini Mungu kwa moyo wake wote ni mbabaishaji au muigizaji neno  watu hawa wananiheshimu kwa midomo lakini Mioyo yao iko mbali nami.

Mungu anataka mioyo yetu tuisogeze kwakwe kila tunachokifanya tukifanye kwa moyo.

Hivyo umtumaini Bwana kwa si kwa akili yako au uelewa wako mwenyewe bali umtumaini kutoka ndani ya Moyo.

Neno linatuambia;  
Nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, KWA AKILI ZAKO ZOTE ‘na’ kwa nguvu zako zote.’ Marko 12:30

Kila jambo lililotajwa hapo juu lina umuhimu wake, na uzito wake ndio maana ametumia kiunganishi ‘na’  hajatumia ‘au’ ambayo inakupa option yaani kuchagua.

Hivyo ni lazima utumie nguvu, roho, akili na Moyo.

Kumpenda Mungu kwa nguvu inamaanisha kujitoa kwa ajili ya Bwana kwa muda na mali yako.

↩  KWENYE KIINI CHETU CHA SOMO

AKILI ni nini?

Ni uwezo wa kung'amua jambo/ kitu fulani, ni uwezo wa kuwa na ujuzi na kitu/jambo flani,
  
Kuna aina kadhaa za akili,

�� Akili za kuzaliwa,

Hizi ni akili ambazo kila mtu anazo, kila mtu anazaliwa na akili ambazo zinamsaidia yeye kujua mambo mbalimbali pasipo kugundishwa na mtu. Kila mtu amejaliwa akili hizi tofauti ipo katika kuzitumia tu.

Uvivu wa kufikiri na kukubali kuongozwa na akili ya mtu mwingine au kuiga iga ndo kinafanya watu wengine waonekane wamependelewa. Mfano Wazungu

�� Akili za darasani,

Hizi zinapatikana kwa kuongezewa maarifa na mtu mwingine, akili hizi mara nyingi tunazipata ili zitusaidie kuweza kupata mambo fulani/kufika viwango fulani, inabidi uingie darasani na awepo mtu wa kukufundisha/kakuongezea ujuzi/akili.

Wengi hawafanikiwa pamoja na kuwa elimu za darasani, moja ya sababu kubwa ni Upumbavu.

Upumbavu maana yake kuwa na  maarifa na kushindwa kuyatumia kwa upuuzi. Hii ni tofauti na ujinga ambapo ujinga ni kukosa maarifa.

�� Akili za maisha,

Huu ni ujuzi ambao unaupata kutokana na mazingira yanayokuzunguka, maisha tunayoyaishi  yamekuwa yakifufundisha vitu vingi sana, na ndio maana kuna watu hawajawai kwenda shule au wameishia viwango vya chini vya elimu  lakini wamefanikiwa, ni kwa sababu ya akili ya maisha ambayo wameipata katika mazingira yanayowazunguka, wana uzoefu na mambo mengi tofauti na mtu ambaye emeenda shule.

Ni muhimu sana kuwa na akili ya maisha kuliko ya darasani, Kwa sababu kama una akili tu ya darasani hauna akili ya maisha, hiyo ya darasani ina asilimia ndogo sana kuweza kukusaidia!

NB: Huwezi kufanikiwa ukiwa na akili za darasani pekee unahitaji akili za maisha, lakini inawezekana kufanikiwa ukiwa na akili za maisha bila kuwa na za darasani. AMKA!

Aina nyingine ni akili ya kiungu,

Hii ndo akili bora kuliko zote, akili hii hauzaliwi nayo, hauipati darasani wala mtaani (maisha ya kawaida) utapata kutoka kwa Mungu tu.!

Akili hii ni bora Kwa sababu ukiipata inauwezo wakubadilisha maisha yako muda wowote!

Habari hizi za akili ya kiungu utazipata zaidi ukisoma habari za Yusufu (Mwanzo 41:37-41) na Danieli 5:10-14).

�� Akili za kiungu

Zinapatikana kwa wewe ambaye ni mwana wa Mungu na ukimuomba kwa bidii akupatie anakupatia!

�� Ukimuomba Mungu Roho ya hekima, maarifa na ufahamu utaipata akili hii.

Roho ni nini?

Ni nafsi hai inayoifanya nafsi kuwa hai, kuna tofauti kati ya nafsi na nafsi hai, Nafsi haiitwi nafsi hai isipoungana na roho. Ukisoma mwanzo 2;7 neno linasema Akampulizia pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

➡ Nafsi inaonekana lakini haiishi pasipo roho. Roho ni nafsi isiyoonekana lakini ni hai.

Kwa hiyo ukiitenga nafsi na roho nafsi hio haitobaki hai tutaizika, itarudi mavumbini.

���� Hapo tumezungumzia roho ya mwanadamu kuna aina mbalimbali za Roho ambazo pia ni muhimu kuzielewa na kuzitofautisha; Roho wa Mungu, Roho ya/za Mungu, na roho za shetani.

�� 1. ROHO MTAKATIFU (Roho WA  Mungu)

Huyu tunampokea kwa namna mbili, kila ujio una kazi tofauti;

1⃣ Uvuvio Wa Roho

Huyu tumempokea kutoka kwa Mungu mwenyewe kwa njia ya kuvuviwa, Yohana 20:21 naye akiisha kusema hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni Roho mtakatifu.

Tukimpokea hutuongoza dhamiri zetu katika kweli;

Warumi 9:1 nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu.

Pia Yohana 16:8 anasema Naye akiisha kuja, huyo atauhakikishia ulimwengu kwa habari ya dhambi na haki na hukumu, Hutufundisha, kutukumbusha; Yohana 14:26

kutuongoza; Yohana 16:12

kwa kifupi kwa njia ya uvuvio Roho huja kama msaidizi.
���� Wote tumepata Neema ya kuvuviwa ingawe wengi hawajui, na kutokujua na kuamini Roho yuko ndani yake hupotea.
Wasiomtambua huyu dhamiri zao huwa dhaifu hivyo rahisi kunajisika.

2⃣ Kujazwa Roho

Ujio huu wa Roho Mtakatifu ni wa nguvu, Ambapo anapokujilia unasikia hali ya tofauti na unapokea nguvu. ukisoma Matendo 1:8 anasema.

"Lakini mtapokea nguvu Roho akishawajilia juu yenu".

Katika ujio huu Roho mtakatifu hushuka na nguvu zake naye huleta roho za Mungu na nguvu ama upako.

Mtu hujazwa Roho kwa kuwekewa mikono ama kuongozwa maombi ama kujitenga na kuomba kwa Mungu.

Huja na ishara mbalimbali mfano kunena kwa lugha mpya. Matendo 2:4

Kwa kifupi kwa njia ya kujazwa Roho huja kwa nguvu akiambatana na matendo ya Muujiza na roho za Mungu zinazotusaidia kuifanya kazi ya Bwana.

Kwa Neema Ya Mungu, Mungu Humvuvia Roho Wake Kila Amwaminiye Amfundishe, Amuongoze, Kumkumbusha,

Lakini Hii Haitoshi Neno La Mungu Linasema; *MTAKENI MUNGU NA NGUVU ZAKE Zaburi 105:4

⚡ Hivyo Unahitaji Ujazo Wa Roho Mtakatifu Katika Huduma Yako Ili Umtumikie Mungu Kwa Ujasiri Matendo 4:31

⚡ Unahitaji Ujazo Wa Roho Mtakatifu Ili Upokee Nguvu Itakayokuwezesha Kutumia Mamlaka; Kumkemea Mapepo, Kuombea Wangonjwa Na Matendo Yote Ya Miujiza N.K.

✅ ya kwanza ya somo hili la AKILI NA ROHO inaishia hapa, leo tumeweka msingi,

Mungu akipenda kwa sehemu inayofuata tutaingia ndani zaidi. Roho mtakatifu atakufundisha utaelewa zaidi endelea kufauatilia kuna namna Roho mtakatifu anataka kukuvusha.

���� Mungu akubariki sana!

MUNGU KATUPENDELEA SANA

mpaka shetani amenuna

��������������

Madhara ya kutosamehe!

Je, wajua kusamehe ni kutii amri ya Mungu?

SOMO: - MSAMAHA

Tukisoma kitabu cha WAEFESO 4:31,32 tunaona Biblia Takatifu inasema kwamba:

"Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya; tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, MKASAMEHEANE kamana Mungu katika Kristo ALIVYOWASAMEHE ninyi." (Efe 4:31,32)

Je! Nini maana ya neno MSAMAHA na kuna faida zipi katika KUSAMEHE; na kwa nini tunapaswa KUSAMEHE?

MSAMAHA:

Neno “MSAMAHA” ni neno jepesi kulitamka lakini ni pana sana katika maana. Nisemapo "NI NENO JEPESI KULITAMKA" ninamaanisha kulitamka tu kwa kawaida na katika hali ya kawaida tu pasipo kukosewa, lakini kwa watu wengi; neno MSAMAHA ni neno gumu sana kulitamka toka rohoni mwao hususani pindi wanapokosewa. Nilifanya utafiti juu ya hili neno nikagundua zipo siri kubwa sana katika KUSAMEHE ambazo Shetani apendi watu wazifahamu.
Tukirudi kwenye neno “SAMEHE” maana yake ni: Kukoma / kuacha kuhisi hasira juu ya mtu ambaye amekuumiza, kakukwaza au kakuudhi; Pia, kukoma / kuacha kuhisi hasira juu yako wewe mwenyewe (kuto kujichukia).
Neno MSAMAHA, kwa maana nyepesi linamaanisha kama ifuatavyo;

Þ       Kutolipiza kisasi japokuwa unayo haki ya kulipiza kisasi.

Þ       Ni tendo la imani na tena la hiari kwa kuwa unayo sababu, uwezo, na haki ya kulipiza kisasi kutokana na yale uliyo umizwa.

Je! Unafahamu ni kwa nini watu wengi ni wagumu KUSAMEHE?

Watu wengi hushindwa kusamehe kwa sababu hawana Roho Mtakatifu ndaniyao; kwamba, wameruhusu maisha yaokutawaliwa na Shetani. 
Dhana hiyo inao ukweli mkubwa ndani yake na pia wapo watu wajiitao watumishi wa Mungu lakini nao wanashindwa KUSAMEHE. Si kwamba tu tunasamehe ili na sisi tupate kusamehewa; La, si hivyo tu, bali zipo faida nyingi sana zipatikanazo kwenye KUSAMEHE.

Siku zote mtu anapokosewa, ndani yake anazaa UCHUNGU, asipokuwa makini nao UCHUNGU unazaa CHUKI, na pia hasipojiadhari hiyo CHUKI inazaa HASIRA. Na hapo ndipo Shetani anapata mlango wa kumwingia mtu. Vitu hivyo vitatu; yaani, UCHUNGU, CHUKI na HASIRA mara zote huandamana. Usipoweza kuudhibiti UCHUNGU, unakuwa unaweka wazi mlango wa Shetani kukutawala.
Mtu kuokoka haimaanishi ndiyo mwisho wa makwazo na majaribu mbalimbali, bali tambua unapo mpokea Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako unakuwa umetangaza vita dhidi ya Shetani na majeshi yake ya pepo waovu. Shetani atajaribu kukuingia moja kwa moja, lakini akishindwa, anatafuta mbinu ya kumuingia mtu mwingine ili akukwaze; nawe ukikwazika ndipo Shetani anapata nafasi ya kukuingia na kukutawala kupitia UCHUNGU, CHUKI, na HASIRA.

Tumeona mifano mingi ya watumishi wa Mungu walio anguka kiimani kwa kushindwa KUSAMEHE; Huduma nyingi za kuhubiri Neno la Mungu zimekufa kwasababu ya KUTOSAMEHE; Makanisa mengi yamevunjika na kutengana kwa sababu tu ya KUTOSAMEHE; Ndoa nyingi na uchumba mwingi umevunjika kwasababu ya KUTOSAMEHE; Makampuni mengi yamevunjika kwa sababu ya KUTOKUSAMEHE, utaona mkurugenzi amekwazana na meneja alafu kampuni inapoteza muelekeo, utendaji unakuwa mbovu na hatimae kampuni inakufa. Yote hayo unaweza kukuta chanzo chake ni KUTOSAMEHE.
Siku zote unapokwazika Shetani anakuwa anakuletea hati ya mashtaka kwenye mawazo yako; utasikia siuti ikikwambia;

"YAANI FULANI AKUFANYIE HIVI KABISA ALAFU UMSAMEHE? HAPANA !!! LAZIMA UMKOMESHE. HAIWEZEKANI UMSAMEHE HIVI HIVI TU WAKATI AMEKUPA HASARA YOTE HII.”

 Ndipo nawe waweza ukajikuta yanakuingia akilini na ukaanza kusema: “Kweli; HAIWEZEKANI KABISA, TENA YAANI, ATANITAMBUA MIMI NI NANI."

Utaona Shetani anakukumbushia tukio jinsi ulivyo tendewa. Utasikia ushauri mwingi sana ndani ya fahamu zako. Tena maneno hayo yanaweza kukupa UCHUNGU sana kiasi cha kushindwa kula, na hata ukatokwa na machozi. Na akili ya mwanadamu ni rahisi kunasa mabaya kuliko mema; ni rahisi kukumbuka mabaya kuliko mema; hapo ndipo Shetani huchukulia point endapo usipokuwa makini. Ukimruhusu Shetani katika akili zako; ndipo utajikuta ukimtazama aliyekukwaza ni mtu wa karibu sana nawe, ambae ulitegemea angekuwa msaada kwako lakini amekurudisha nyuma na kuuumiza sanamoyo wako. Hauna raha, amani wala matumaini yoyote yale. 

Yawezekana akawa ni rafiki yako wa karibu sanaamesababisha ufukuze kazi kwa kosa ambalo hukulifanya. Kweli inauma sana; inaleta huzuni na uchungu ukiwaza utafanya nini na wale wanaokutegemea. Inaumiza sana.
Kwa wakati huo, ukijitizama uwezo wa kumdhuru unao, sababu ya kumdhuru unayo, na nia ya kumdhuru unayo. Na kila mtu unaemsimulia anakwambia:

"Mbona wewe mjinga hivyo? Ingekuwa ni mimi, kamwe siwezi kumlazia damu huyo, lazima angenitambua."

Kwa wakati huo moyo wako umejaa UCHUNGU, CHUKI na HASIRA. Lakini kwa mbali saaaana, unasikia sauti ndani ya moyo wako ikisema: MSAMEHE.
Nadhani ata wewe waweza kutambua ni jinsi gani ilivyo vigumu kuitii hiyo sauti isemayo SAMEHE kwa kuwa ukitazama ni kweli umeonewa, uwezo wa kulipa kisasi unao, na hata ukilipa kisasi au kudhuru wapo watu watakaosema "Kwa kweli umefanya vizuri kumkomesha. Ilimpasa hivyo."

Na kama ukitenda jambo baya juu yake; fahamu kwamba hiyo imetokana na wewe kuruhusu UCHUNGU ukutawale. Wengine hufikia hata hatua ya kujinyonga. Mawazo yatakujia; “Yaani fulani kabisa azini na mke wangu ! Tena fulani ni rafiki yangu kabisa ! Hapana. Lazima nimkomeshe.”

Hayo yote chanzo chake ni UCHUNU uliouruhusu uingie ndani ya nafsi (akili) yako. Tumeona Biblia Takatifu inatuambia kwamba: "Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matukano yaondoke kwenu..." (Efe 4:31) Sasa; je! Nini maana ya neno UCHUNGU? Nivigumu kupambana na adui kama hatumfahamu adui yetu UCHUNGU ni nani.

UCHUNGU:

Kwa maana nyepesi neno UCHUNGU maana yake ni hii:

Þ       Ni hali ya kutokuwa na furaha, kujawa hasira zilizotokana na kutendewa mabaya.

Þ       Ni hali ya kuhisi huzuni nzito ambayo wakati mwingine inaweza kuchangamana na maumivu makali katika fahamu za mtu, ambayo yaweza kusababisha mwili kunyong'onyea na kusababisha akili kupoteza uwezo wa kufikiri vizuri.

Mara nyingi UCHUNGU husababisha akili kushindwa kufanya kazi ipasavyo. Hiyo ndiyo maana halisi ya neno uchungu. Zifuatazo ni athali za kutosamehe;

MADHARA YA KUTOSAMEHE:

i/: KUHARIBU AFYA YAKO.

Kama nilivyojifunza hapo awali; UCHUNGU husababisha huzuni nzito. Hii huzuni inapomwingia mtu, huleta maumivu makali katika fahamu za mtu; Uwezo wa mtu wa kufikiri vizuri hupotea, na wakati mwingine huyu mtu anakuwa kama vile amedumaa akili. Unaweza hata ukamwuliza: “Jina lako ni nani?” Lakini mtu huyo badala ya kukujibu akabaki anakushangaa tu.

Uchungu unapomwingia sana mtu unaweza kumfanya apoteze hamu ya kula. Atahisi kila aina ya chakula kwake ni kibaya, atahisi vyakula vyote kwake havina radha. Na hata akijilazimisha kula ataona kama chakula ni kigumu kumezea. Matokeo yake, afya inaanza kuzorota na mwili unaanza kunyong'onyea. Ndipo chanzo cha madonda ya tumbo. Uchungu utokanao kwa hasira husababisha mwili uweze kuzalisha sumu ambayo inaleta madhara katika afya yako.

Pia, UCHUNGU husababisha mtu kuwa na mawazo yenye maswali yasiyo na majibu kwa wepesi; na tena tumaini huonekana kama vile limepotea kabisa. Uchungu huo ukidumu kwa muda mrefu husababisha mwili kutengeneza sumu itakayoharibu ule ute mwepesi unaopatikana katikati ya mifupa (Synovial fluid) pamoja na kuharibu afya yako kwa ujumla (Bila shaka hapa madaktari wananielewa vizuri.) 

UCHUNGU huo ukizidi kupita kiasi, mwili wa mtu huyo huonekana umekakamaa kakamaa sana. Na kwa kiasi kikubwa afya ya mtu huyu huanza kuharibika hatua baada ya hatua. Mwili wake hunyong'onyea na akili zake hushindwa kufanya kazi vizuri, hupoteza kumbukumbu na utambuzi wa mambo mbali mbali na kumfanya mtu afanye maamuzi ya pupa yanayompeleka kwenye hasara kubwa zaidi badala ya kuleta suluhu la matatizo yake.

Hivyo basi; Athali ya pili ya KUTOSAMEHE ni kama ifuatavyo:

ii/: KUTENGWA NA WATU.

KUTOKUSAMEHE kunasababisha GHADHABU na HASIRA. Na hivi vyote hutokea pale unaposhindwa KUUDHIBITI UCHUNGU USIKUTAWALE. Mlango mkubwa wa DHAMBI huanzia pale mtu anaposhindwa kudhibiti UCHUNGU. Kwa hiyo; UCHUNGU unapomtawala mtu, uchungu huo unazaa kitu kinachoitwa CHUKI. Ndani ya hii chuki ndimo kunakaa GHADHABU. 

GHADHABU ni hali ya mtu kuwa na maamuzi ya pupa pasipo kujali madhara yake. Hali hiyo yaweza kumfanya mtu kuwa na majibu ya mkato mkato, kutopenda kuulizwa ulizwa; humfanya mtu kuwa na hali ya UGOMVI mara kwa mara, kutopenda kuwa na subira (anataka afanyiwe vitu kwa haraka haraka la sivyo ananuna na kutoa maneno machafu, na wakati mwingine anakuwa na tabia ya kuzira). Katika hatua hii ndipo kunazaliwa kitu kiitwacho HASIRA. 

HASIRA umfanya mtu kuchukua maamuzi pasipo kujali. Mtu huyo kwa wakati huo anakuwa hatarini sana kuingiliwa na Shetani. Endapo asipodhibiti hiyo hasira yawezekana Shetani akamwendeshakama jinsi Shetani apendavyo. Hapo ndipo utaona MAGOMVI, MATUSI na KILA AINA YA UBAYA vinadhihirika kwa mtu huyo. Tena anafanya pasipo hata kujali. Mtu hukirihusu hasira ikutawale utakuwa umempa Shetani kibali cha kukutawala. Biblia Takatifu inasema kwamba:

"Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira nyingi; Wala usiende na mtu wa ghadhabu nyingi; Usije ukajifunza njia zake; Na kujipatia nafsi yako mtego." (MITHALI 22:24-25).

Mtego huo hutoka kwa Shetani ili akuingize dhambini. Hivyo basi; matokeo ya hasira ni KUTENGWA NA WATU. Kwa kuwa mtu huyo hufanya maamuzi bila kutumia akili, hekima wala busara.

Neno la Mungu linapotuambia: "UCHUNGU WOTE NA GHADHABU NA HASIRA NA KELELE NA MATUKANO YAONDOKE KWENU, PAMOJA NA KILA NAMNA YA UBAYA.." Mungu anatutaka vitu hivyo viondoke kwetu kwa ajili ya faida yetu wenyewe. Lakini ukishindwa kuvidhibiti, matokeo yake utafikia hatua itakayokupa hasara kimwili na kiroho pia. Na ufahamu kwamba; MTU KUSHINDWA KUDHIBITI UCHUNGU USIMTAWALE kunaweza kuwa CHANZO CHA MABAYA NA DHAMBI KUTOKEA. 

Ndiyo maana utaweza kuona mtu amegombana na mke wake nyumbani alafu anaondoka na hasira zake kisha unasikia amegongwa na gari barabarani. Sasa jiulize, kusamehe ni kwa ajili ya faida kwa Mungu au kwako wewe mwenyewe? Au yawezekana umedhurumiwa pesa zako na wafanya biashara wenzako kisha ukaingia ofisini mwako umejaa hasira, wateja wanapokuja wewe unawajibu vibaya; Je, biashara yako ikifa utamlaumu Mungu, Shetani au lawama ni juu yako wewe uliyeshindwa KUZUIA HUO UCHUNGU? Dawa ya kuushinda uchungu ni KUSAMEHE; hakuna tiba nyingine zaidi ya KUSAME. Ni kitu cha kushangaza hata watu wadunia wanataka kuwazidi akili baadhi ya watu wa Mungu. Katika accountance kuna kitu kinaitwa Bad Debt Account. 

Yaani ni deni lililoshindikana kulipwa aidha kwa kudhurumiwa au mdeni amekufa au kufirisika. Wahasibu hufungua account hiyo ambayo ni ishara ya kusamehe deni lililoshindikana kulipwa, kisha wanafanya mikakati mipya ya kusawazisha pengo hilo. Sasa je! Kuna tatizo gani linalowafanya watu wa Mungu washindwe KUSAMEHE?
Nikifungua Biblia kwenye kitabu cha WAEFESO 4:26 Biblia inasema:

"Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na UCHUNGU wenu bado haujawatoka." (Efe 4:26)

Unaona sasa; tatizo kubwa la watu ni kuruhusu UCHUNGU KUWATAWALA. Tunapoambiwa "MWE NA HASIRA, ILA MSITENDE DHAMBI.." Kumbe inawezekana kabisa mtu kupatwa na hasira kwa sababu makwazo na majaribu ni mengi tuyapatayo kila siku, lakini tumeambiwa “MWE NA HASIRA LAKINI MSITENDE DHAMBI”;  na tena tunaambiwa “...JUA LISIZAME TUKIWA BADO NA UCHUNGU NDANI YETU.” Tunalazimika KUSAMEHE kwa ajili  ya faida yetu sisi wenyewe. Ndiyo maana tukisoma WAEFESO 4:26 imeandikwa: "wala msimpe Ibilisi nafasi."

 Hivyo basi, kumbe KUTAWALIWA NA UCHUNGU NI NJIA YA KUMPA SHETANI NAFASI. Tunaposoma WAEFESO 5:17 tunaona imeandikwa:

"Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana". (Efe 5:17)

Bila shaka hadi hapo nimeeleweka vizuri. Sasa basi;  Athali ya tatu ya KUTOKUSAMEHE ni kama ifuatavyo:

iii/: MUNGU HATAKUSAMEHE DHAMBI ZAKO.

KUTOSAMEHE ni moja ya sababu ya KUTOSAMEHEWA. Neno DHAMBI, lina maana ya kutenda kinyume na mapenzi ya Mungu. Dhambi ni kuvunja amri/sheria za Mungu. Mtu atendapo DHAMBI anakuwa haumkosei mwanadamu bali umemkosea Mungu. Hivyo basi, ni Mungu pekee ndiye awezaye KUKUSAMEHE. Kwa hiyo, Mungu hawezi kukusamehe wakati wewe hautaki KUSAMEHE wenzako. Neno la Mungu linatuambia kwamba:

"Nanyi, kila msimamapo na kusali, SAMEHENI, mkiwa na neno juu ya mtu; ILI NA BABA YENU ALIYE MBINGUNI AWASAMEHE NA NINYI MAKOSA YENU." (Marko 11:25)

Tukizidi pia kusoma ule mstari wa 26, tunaona Mungu anasisitiza kwa kusema:

"Lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu." (Marko 11:26)

Mungu ametuweka wazi kabisa; ENDAPO KAMA SISI HATUSAMEHE, VIVYO HIVYO NA SISI HATUTASAMEHEWA. Sasa je! Ni nani asiyetenda makosa au kumkwaza mwenzake kwa namna yoyote ile? Bila shaka hapa jawabu ni HAKUNA. Kila mmoja wetu umkwaza mwenzake kwa namna fulani fulani. Kwa hiyo hatupaswi kuruhusu UCHUNGU ututawale hata kidogo ili Shetani asipate nafasi ndani yetu. Kwa kuwa sote huwa tunakoseana, ni lazima tusameheane ndipo na sisi tupate kusamehewa na Mungu.

Madhara mengine ya kutosamehe ni haya yafuatayo:

iv/: MUNGU HAPOKEI SADAKA ZAKO, NA WALA HAJIBU MAOMBI YAKO.

Nikifungua Biblia Takatifu kwenye kitabu cha MATHAYO 5:23,24 tunaona pameandikwa kwamba:

"Basi ukileta sadaka yako madhabahuni, na huku ukikumbuka ya kuwa ndugu yako ana neno juu yako, iache sadaka yako mbele ya madhabahu, uende zako, upatane kwanza na ndugu yako, kisha urudi uitoe sadaka yako."

Mungu huchukizwa na sadaka za mwenye dhambi. Sadaka za mtu mwenye dhambi hazipokelewi mbele za Mungu. Ndiyo maana imeandikwa kuwa utii ni bora kuliko dhabihu. Mungu si masikini hata ababaishwe kwa sadaka zako. Tukisoma kitabu cha HOSEA 6:6 Mungu anasema:

"Maana nataka fadhili wala si sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka...",

Mungu hababaishwi na hako kasadaka kako. Mungu si masikini hadi ababaishwe na uto tusadaka twako. Mungu anapenda sadaka za mtu mwenye moyo safi; Ndiyo maana Biblia inasema kwenye MITHALI 21:3

"Kutenda haki na hukumu humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka." (Mithali 21:3)

Mungu hupendezwa na moyo safi; ndiyo maana amesema "...IACHE SADAKA YAKO MBELE YA MADHABAHU, UENDE ZAKO, UPATANE KWANZA NA NDUGU YAKO, KISHA URUDI UITOE SADAKA YAKO." Kwahiyo, usipopatana (sameheana) na yule mliyekoseana, hakika Mungu hatapokea sadaka zako. Hivyo basi, KUTOSAMEHE umfanya mtu kukosa kibali mbele za Mungu. Naunapokosa kibali kwa Mungu maana yake unakuwa haujampendeza Mungu, vivyo hivyo kwa maana nyepesi unakuwa umetenda dhambi, kwa maana dhambi ni kutenda kinyume na mapenzi ya Mungu.

Hivyo basi, ninapenda kuhitimisha somo hili kama ifuatavyo; Biblia inasema kwenye kitabu cha WAEFESO 6:10,12

"Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani."

Ninajua wapo watu ambao watauliza; Je, silaha za Mungu ni zipi?

Silaha kubwa kabisa kuliko zote ni NENO LA MUNGU lililomo ndani ya Biblia Takatifu; neno hilo la Mungu linapaswa kukaa kwa wingi ndani yako. Neno la Mungu likikaa kwa wingi ndani yako, ukilifanyia kazi na kulishika, ndipo Roho Mtakatifu atakaa ndani yako na kukuongoza namna ya kufanya. Pasipo Neno la Mungu, hatuwezi kuyajua mapenzi ya Mungu. Kwahiyo, silaha kuu ni NENO LA MUNGU. Ndiyo maana tukisoma WAEFESO 6:14-17 imeandikwa:

"Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani, na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani; zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu..."

Sasa soma hapa kwa makini zaidi, "...Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu."

Siku zote Shetani anataka kuona watu wanapotea na kukosa baraka za Mungu. Shetani analeta majaribu na makwazo mbalimbali ili watu waanguke na kuiacha njia ya uzima; Shetani anataka watu wawe na uchungu ili wakose baraka za Mungu. 

Hauwezi kusema umemsamehe mtu wakati bado unao uchungu moyoni mwako. Biblia inasema hakuna dhambi ndogo wala dhambi kubwa, ni kwa sababu muongo na muuaji wote hukumu yao ni kutupwa kwenye ziwa la moto na kupata humo mateso ya milele yote. Vivyo hivyo yeye asiyesamehe wenzake hukumu yake ni ile ile kwenye ziwa la moto sawa sawa na muuaji.
Nikisoma WAEFESO 6:12 imeandikwa

"Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wagiza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho."

Ndugu zangu tuweni macho na makinisana, Shetani hapendi kuona watu wanabarikiwa, hapendi kuona kazi ya Mungu inasonga mbele, na hapendi kuona watu wanarithi uzima wa milele.

SAMEHEANENI NA WALA UCHUNGU USIKAE MIOYONI MWENU. Mwenyezi Mungu awabariki nyote mnaotendea kazi haya mliyojifunza humu. Roho Mtakatifu awaongoze kwenye kweli yote, mbarikiwe katika jina la Yesu Kristo. Amina.

 

 

Thursday, 16 November 2017

BEST SET OF ADVICE.

This is one of the best set of advise l have ever read.

1. Take risks in your life. If you win, you can lead; if you lose, you can guide.

2. People are not what they say but what they do; so judge them not from their words but from their actions.

3. When someone hurts you, don't feel bad because it's a law of nature that the tree that bears the sweetest fruits gets maximum number of stones.

4. Take whatever you can from your life because when life starts taking from you, it takes even your last breath.

5. In this world, people will always throw stones on the path of your success. It depends on what you make from them - a wall or a bridge.

6. Challenges make life interesting; overcoming them make life meaningful.

7. There is no joy in victory without running the risk of defeat.

8. A path without obstacles leads nowhere.

9. Past is a nice place to visit but certainly not a good place to stay.

10. You can't have a better tomorrow if you are thinking about yesterday all the time.

11. If what you did yesterday still looks big to you, then you haven't done much today.

12. If you don't build your dreams, someone else will hire you to build theirs.

13. If you don't climb the mountain; you can't view the plain.

14. Don't leave it idle - use your brain.

15. You are not paid for having brain, you are only rewarded for using it intelligently.

16. It is not what you don't have that limits you; it is what you have but don't know how to use.

17. What you fail to learn might teach you a lesson.

18. The difference between a corrupt person and an honest person is: The corrupt person has a price while the honest person has a value.

19. If you succeed in cheating someone, don't think that the person is a fool...... Realize that the person trusted you much more than you deserved.

20. Honesty is an expensive gift; don't expect it from cheap people.

This is very interesting post and I want all my friends and family to benefit.

Thursday, 2 November 2017

How to hack WhatsApp

3 Ways To Hack Whatsapp Account Today

 

At the moment, there are 1.3 billion Whatsapp users. This is a significant increase if you know that in 2016, the number was 1 billion.

Obviously, due to simplicity and functionality, we can only assume that the number of users will go in one direction only, up!

But, this also means that a higher number of people will want to hack Whatsapp account.

Yes, this is possible and there are three methods you can use.

Method 1: Using Copy9 to hack someone’s Whatsapp

Copy9 is the first method on our list. Basically, it is a full-size app which allows you to get a complete access to a targeted device.

In recent months, we have been able to see a huge increase in the number of users. They are parents, spouses and business owners, among others.

The main idea behind the app in question was to provide safety and security, rather than to use it for plain smartphone hacking, which is something we prefer.

Yes, you can still hack Whatsapp messages and read them whenever you want.

Perhaps all of this spends complicated, but the real procedure is more than just simple. In essence, you will have to:

Download the Copy9Install it on targeted deviceLogin to your control panel on a PCDone

As you can see, the entire process takes no more than 5 minutes of your time.

It is specifically developed to be simple enough for average users and those who don’t even fully understand smartphones and how they work.

The bottom line is yes, you will be able to use it without a problem.

Here it should be mentioned that there is no risk of being detected!

The app works by connecting to the operating system and literally becoming part of it.

As such, the app has all the access to the OS on your phone, obviously.

The app cannot be detected by antivirus, malware software or on any other way.

Hard reset of a device won’t delete the app as well. At the end, we can add Copy9 is the safest app to use.

Besides the hack Whatsapp online feature, Copy9 offers plenty of additional features!

Besides the fact you will be able to read Whatsapp messages, the app allows you to read messages and monitor calls performed via other apps. All messenger apps are supported.Tracking the GPS location is possible as well. The app will determine the exact location of a smartphone within a matter of seconds.It is accurate within 10 feet! Even if the GPS option isn’t activated on a smartphone, the Copy9 will activate it and use it. The feature is essential for severe and dangerous issues.Monitoring internet activities is just another feature. Although Whatsapp tracker option is associated with the internet, the feature here is a bit different.Basically, it allows for the user to block access to the web, limit it or check out what has been visited via the targeted device.The full list of features is significantly long. In general, you will be able to hack Whatsapp chat historymonitor call, all messages, internet activity, GPS, detecting when a SIM card is changed and many other features.

Customer support is guaranteed and also more than just decent, which isn’t a case with apps of this kind!

The best part, you get a free trial, without a need to enter your credit card. If you don’t like it, after 48 hours simply delete the app and you are done.

However, most users who tried the free trial, have been using Copy9 ever since.

Are you interested in our App?

You get a free trial, without a need to enter your credit card

Get 2-Day Free Trial

Method 2: Hack Whatsapp messages without access to phone

How actually safe Whatsapp and similar apps are?

You may believe that they are bulletproof, but they aren’t! As a matter of fact, both, Whatsapp and Telegram were able to be hacked by a single photo, yes, just one ordinary photo.

Both of these companies issue a new patch recently which should prevent this issue.

According to the latest details, hackers were able to hack these accounts by sending a photo to a user.

Of course, a photo had to be opened, after which hack would be performed.

The severity of this issue means that your account can be hacked within a matter of seconds.

If you are looking for a way how to hack someone’s Whatsapp without their phone this is the method for you.

So, how this method actually works?

Video Demonstration:

The researchers also provided a video demonstration, given below which shows the attack in action.

In order to complete it, you will have to insert a malicious code into a photo.

Once a user opens that photo, the code will infect the device, allowing you a complete access.

Within a matter of seconds, you can have a complete control over Whatsapp or Telegram, depending on which app you targeted.

The explanation lies in the process how both of these apps treat media files.

The same applies to videos and documents, by the way. In essence, Whatsapp doesn’t check the files for malware.

It directly allows to the users to open, view and store a photo or a video.

In other words, the app will literally allow access of malware into a device. After which the account is hacked.

A bit more detailed explanation is required here. Telegram, Whatsapp, and a few other apps use the same type of encryption.

It means that an app won’t be aware of the message or a file which is sent to a device until it validates it.

However, the opening is the first step here and only then a message is validated. In plain words, Whatsapp doesn’t realize what has been actually received until it is too late.

Still, want to know how to hack a Whatsapp account using this method?

Well, it may be still working among users who haven’t upgraded their Whatsapp.

Surprisingly, there are more than 60% of users who avoid or upgrade their apps as late as possible.

Just in case, you will need a piece of code which can be implemented into a photo or a video.

Once a victim opens the file, the code will spread through the device and infect it. Then, you will have a full control over the app.

You can read the messages check out the contacts, delete anything you want and get access to private images and files!

This method does require knowledge of coding and it is one of the most complicated out there, simply due to the fact you will have to adapt the code according to several parameters.

On the other hand, the main advantage is in the further hacking capabilities.

In essence, once a hacked user sends the same photo to another, he will be hacked as well.

This creates an impressive chain of hacked users, which can be more than just long.

Method 3: WhatsApp Backdoor allows Hackers to Intercept and Read Your Encrypted Messages

This method is perhaps the most appealing of them all. In essence, it uses a “backdoor” flaw.

Some say it is a severe mistake, while others claim it is an additional feature.

Anyway, it allows to you to hack Whatsapp and to read, by intercepting the messages between users. Backdoor is used by Whatsapp, Telegram, and a few more apps.

First of all, we should explain the end-to-end encryption. It means that you, as a user will send an encrypted message to another person.

Only after it is received, it will be decrypted and readable. Whatsapp introduced this feature in 2012 and then became the most secure app of them all. Sadly, it looks like it isn’t so secure.

Whatsapp is owned by Facebook, and if we know that this giant allows to the central intelligence agencies to spy on their users, we can deduce that Whatsapp shares the same flaw.

That’s why the backdoor feature exists. Originally, it has been developed for central intelligence agencies, but at the same time, it is something that hackers can use.

Furthermore, Whatsapp end-to-end encryption works on “trust”. The company uses a secure server to process the messages, but according to the user agreement, they can change any of the rules at any given moment.

Basically, Whatsapp can choose to share your messages with others and you won’t know about it!

How this actually works?

The vulnerability relies on the way WhatsApp behaves when an end user’s encryption key changes.

Basically, we have a scenario between users A and a person B.

When a person A sends a few messages to the person B, the Whatsapp on that device will decrypt the messages and allow for the user to read them.

But, when a user B replaces the device, he will also be able to get and read those messages.

This is possible due to the fact Whatsapp choose to update and modify the private keys, needed for decryption at any given moment, without informing the user.

Now, you as a hacker will be user C. You will modify the private key of a user B and insert your own.

By doing so, you will directly be able to read messages of user A. Whatsapp spy app that can do it for you isn’t so complicated to use, after all.

Here we have another advantage of this method. Facebook, which owns Whatsapp didn’t solve this issue since 2016. It is obvious that it will stay available in the future as well.

All of this means that you, as a hacker will be able to exploit this method in the near future. Using Whatsapp tracker onlineand using this method will give impressive results.

Some believe that backdoor feature is used as a feature to eliminate the need for constant privacy key verification, which is annoying. Instead, Whatsapp will do it instead of you.

But, Signal private messenger, which uses the same technology is immune to this issue, simply due to the fact it requires physical verification.

If you are a decent hacker, you will be able to exploit this method or better said this drawback of the Whatsapp.

After all, it is introduced to allow for agencies to spy on users, which means that hackers, including yourself, can use it for the same reason.

Conclusion:  The best way to hack Whatsapp is to use Copy9

At the end, we must choose the best or better said the most efficient way to spy on Whatsapp.

Obviously, it is Copy9 app. First of all, it is so easy to use that you don’t need any, precious knowledge or anything else.

Even if you are an average user, you won’t have any difficulties with it. Then we have the fact you will get additional features, which directly makes you the “owner” of a targeted device.

On average, you will need around 5 minutes from the time you will download the app, install it and read the first Whatsapp messages.

None of other two methods can provide you this. Once you are done with the process, you can remotely remove the app from the targeted device and there won’t be any pieces of evidence you have ever used it.

The second method is a bit more demanding. You will need to know the essence of coding.

But, this isn’t something you can learn at school or at some other place.

You will have to be born for this and you will need to understand the matter without the help of anyone else.

Also, once users upgrade the app, you won’t be able to use this method anymore.

The third, backdoor method is still possible and it will stay possible ever since, due to the fact Facebook refuses to change the privacy terms!

In other words, you will be able to use it as long as you want. But, this method is also complicated and probably even more demanding than the second one here.

So, if you choose to use it, take your time, learn the matter and only then try it. By the way, this method can be detected easily by users!

At the end, we should repeat that the best and the easiest way is to use Copy9. It doesn’t require any of the requirements other two methods do, but it offers even better result.