Friday, 4 March 2016

Kiwanda cha rangi chateketea kwa moto.

Ghara la kuhifadhia rangi kwenye kiwanda cha Sadoline kilichopo maeneo ya tazara  Dar es salaam,   baada ya kuungua  moto ambao bado haujafahamika mpaka sasa nini chanzo chake. Kwa mujibu wa mkaguzi msaidizi wa jeshi la zima moto wilaya ya Kinondoni adam hamisi ngao amesema moto huo ulianza  kuwaka muda wa saa moja za usiku .

No comments:

Post a Comment