Friday, 5 August 2016

Right way for Development!

RIGHT WAY FOR DELOPMENT   (RIWADE)

RIWADE, hii ni asasi isiyo ya kiserikali iliyosajiliwa mwezi Juni 2016, ikiwa na usaili namba  (ooNGO/08696) kwa lengo la kuwasaidia vijana wasio na ajira waweze kufanya kilimo, ufugaji, uvuvi wa kisasa ulio endelevu na mazingira. Na pia  kuwahusisha wakulima katika ngazi zote ili kuweza kushirikiana katika kutatua changamoto zinazokabili kilimo, ufugaji, uvuvi na mazingira kwa ujumla . Hivyo msingi wa RIWADE umejengwa kwenye mahitaji ya wakulima, wafugaji na wavuvi. RIWADE inahusisha wadau wengine kama vile washauri na watalaamu wa  vyuo vikuu, makampuni, serikali na taasisi binafsi katika kutekeleza shughuli zake. Mpango huu shirikishi unatengeneza msingi wa ubunifu ambapo, usambazaji wa elimu, utafiti na ushirikiano hujenga nguzo kuu.

 DIRA YETU. (Vission)

Kuzifikia na kuziboresha huduma za jamii ambazo zitapelekea ukuaji wa hali ya kimaisha kwa wananchi.

DHIMA YETU. (Mission)

Kutengeneza na kutoa fursa kwa watanzania wote ili waweze kupata elimu ya ujasiriamali na namna ya kutengeneza mitaji kwa ajiri ya ukuaji endelevu wa kijamii na kiuchumi.

MISINGI YETU.
Uadilifu
Uwajibikaji 
Uvumbuzi
Uaminifu 
KAULI MBIU.

"Ardhi Ni Mtaji"

    CONTACTS                                                     Managing Director
Eng. Ayubu Massau .
Head Office
P.o. box 682
Morogoro.
Tell. 0763188907

General Secretary 
Shadrack Charles Makaya
Tell. 0752817289

Project Evaluator
Elisaria Swai
Tell. 0788919510

  " IT manager"
Johnson Zablon
     Tell. 0765926368

     
Regional Managers.

Arusha Regional Manager 
Baraka S. Mchomvu
Tell. 0687176587

Lindi Regional Manager 
Shabani Zuberi
Tell. 0783728809

Ruvuma Regional Manager
Sheria Buckley
Tell. 0754424883

Kilimanjaro Regional Manager 
Shadrack Charles Makaya 
Tell. 0752817289.

Mtwara Regional Manager
Pilly Chande 
Tell. 0656635808

  Mbeya & Songwe Regional Manager
Isakwisa Banunu Mwakamoja
Tell. 0752132314.

Njombe Regional Manager
Nafiwe Miho 
Tell. 0769665206

Iringa  Regional  Manager
Vumilia J. Chacky
Tell. 0719056060

Tanga Regional Manager
Bahero Hassan Wema
Tell. 0652020297

Pwani Regional Manager
Khanifa Byamungu
Tell. 0715684196

Tabora Regional Manager
Stephen I. Nyagalu
Tell. 0757888044

Dodoma Regional Manager
Rahim Kalyango
Tell. 0717184731

Morogoro Regional Manager
Elisaria Swai
Tell. 0788919510

Mara Regional Manager
Masatu Bure Salum
Tell. 0759782429

Simiyu Regional Manager
Nkuba Kibayu
Tell. 0759919209

Mwaza & Katavi 
Regional Manager
Diana Joseph Madukwa
Tell. 0754213256

Dar es Salaam Regional Manager
Anitha Said 
Tell. 0719620644

Dar es Salaam Regional Manager
Ochieng Felix Okombo
Tell. 0654092683

Manyara Regional Manager
Batare  Mbaraka
Tell. 0769323117

Manyara Regional Manager
Fredrick Jonas 
Tell. 0682529281

Singida Regional Manager
Juma Ramadhani
Tell. 0756222314

Kigoma Regional Manager
Anton Mwita Kitereri
Tell. 0758382121

Rukwa Regional Manager Paul  Elias  Manzile
Tell.0757313953

Shinyanga Regional Manager
Elikana  Machanya
Tell. 0768011069

Geita Regional Manager
Solo manoni
Tell 0757281331

Kagera Regional Manager
Dativa Paul 
Tell: ,0765571557

Pia tunapatikana

Blog:  riwade.blogspot.com
Facebook: Riwade
Twitter:  Riwadwtz
Instagram:  Riwadetanzania
Email: riwadetanzania@gmail.com

No comments:

Post a Comment