Monday, 29 February 2016

RARE DISEASE DUNIANI

Kila mwaka Siku ya mwisho ya Mwezi Wa Pili huadhimishwa Siku ya 'Rare Disease Duniani. Mwaka huu ni leo tarehe 29 Feb 2016.

Sharifa Mbarak ni mama mwenye watoto wawili ambao waliathirika na magonjwa hayo yasiyotambulika. Kesho ataongea na Waandishi wa habari na wadau mbalimbali wakiwamo na madaktari wa watoto Dr. Mariam wa Agakhan na Professor Kareem wa Muhimbili pamoja na Monica Joseph , mdau kutoka Philips Medical Systems katika hotel ya Serena Dar es Salaam, Saa 4 asubuhi katika kampeni ya kuhamasisha magonjwa yasiyotambulika.

Tunaomba ushiriki wako katika siku hii muhimu kwa Watoto wa Sharifa na watoto wote duniani wanaoteseka na magonjwa haya.

No comments:

Post a Comment